ABOUT AUTHOR

My title page contents

Advertisement

Ads

Powered by Blogger.

Comments

Facebook

Featured post

google-site-verification: google663d41d5e2b405b5.html

ad

Ad Home

Random Posts

Advertisement

Recent Posts

Header Ads

Recent Comments

Popular Posts

Friday, 13 January 2017

OBAMA ON A FRAWN

Rais wa Marekani Barack Obama amemtunuku makamu wake Joe Biden Medali ya Rais ya Uhuru, ambayo ndiyo nishani ya hadhi ya juu zaidi anayoweza kupewa raia nchini Marekani.
Biden, ambaye alionekana kushangazwa na hatua hiyo, alitokwa na machozi alipokuwa anatunukiwa medali hiyo.
Bw Obama amemsimu makamu huyo wa rais kwa "imani yako katika Wamarekani wenzako, kwa upendo wako kwa taifa na kwa utumishi maisha yako yote."
Tuzo hiyo imetolewa kwa Bw Biden wawili hao wanapojiandaa kuondoka madarakani Donald Trump wa Republican atakapoapishwa kuwa rais mpya tarehe 20 Januari.
Bw Biden amesema anapanga kuendelea kushiriki siasa katika chama cha Democratic.

Hakutarajia

Joe Biden, aliyeonekana kutekwa sana na hisia, alisimama na kuonekana kushangaa Bw Obama alipomlimbikizia sifa na kumtaja kuwa "chaguo bora zaidi, si kwangu tu, bali kwa Wamarekani".

No comments:

Post a Comment